Loading...

TANZIA

Loading...
TANZIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZIA
link : TANZIA

soma pia


TANZIA

Mchambuzi mahiri wa muziki wa Charanga Zerno Andrew Lucas, aliyefahamika zaidi kwa jina Brother Zeno, amefariki dunia jana asubuhi katika hospitali ya Temeke, Brother Zeno aliyekuwa akishirikiana na 'Mzee wa Macharanga' Charles Hillary enzi hizo Radio One, alikuwa na ufahamu mkubwa wa muziki wa kutoka Cuba na hivyo kuwa mpenzi mkubwa wa watu waliopenda muziki huo. 

Brother Zeno amesumbuliwa karibu mwaka mzima na tatizo la moyo na katika siku zake chache za mwisho alikuwa akipumua kwa msaada wa mashine, alitegemewa angepata nafuu na kuhamishiwa Muhimbili kwa matibabu zaidi lakini Mungu amekuwa na mipango mingine. 

Msiba wa Mzee utakuwa nyumbani kwake Mbagala Kibonde Maji na mazishi yatakuwa leo 28/6/2017 saa kumi hukohuko Mbagala


Hivyo makala TANZIA

yaani makala yote TANZIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/tanzia.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "TANZIA"

Post a Comment

Loading...