Loading...

ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU.

Loading...
ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU.
link : ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU.

soma pia


ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU.








Mwamba wa habari
Na John Luhende
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Sophia Mjema  ameamuru kukamatwa na kuwekwa ndani  pamojana kufanyiwa uchunguzi kwa mkazi mmoja wa  Pugu mnadani marabaada  yakulalamikiwa na  baadhi ya wakazi wa eneo hilo  wakimtuhumu kumbaka mtoto wake wakike anayekadiriwa kuwa na miaka saba.



Shutuma hizo zimetolewa na wakazi hao katika mkutano wa DC  Mjema ulifanyika Pugu mnadani kwaajili ya kusikiliza kero za wananchi wa eneo hilo ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake jimboni ukonga kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia majawabu, mkazi huyu ambaye tumelihifadhi jina lake anaeleza namna mttoto huyo anavyoishi mazingira magumu kwa sababu ya vitendo vya kikatili anavyo tendewa na Babayake.





Mkazi huyo ameeleza mbele ya DC Mjema , kuwa baada ya kufuatilia alibaini ukweli kuwa mtoto huyo anatendewa vitendo hivyo vya kikatili kila siku jambo ambalo limemfanya motto huyo kutoroka marakwa mara .

Msamalia mwema huyo ameendelea kudai kuwa hatamajiran wanafahamu kuhusu jambo hilo  lakini wamekuwa wakikosa ushirikiano kutoka kwa Baba huyo kujua ukweli kuhuu maisha ya mtoto huyo.

Marabaada ya madai hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia  Mjema akaagiza alimwita mtuhumiwa huyo lakini alikuwa amesha anza kutoroka  mkutanoni hapo na kwenda kubadili mavazi aliyokuwa nayo mwanzo lakini akafuatwa na kukamatwa  huku akijitia mwenda wazimu  akijibu mambo  tofauti na anacho ulizwa.

Mtuhuyo atafikishwa Mahakamani pindi  pindi uchunguzi wa DNA utakapo fanyika  kaqma alivyo agiza   DC Mjema , na mtoto huyo kwa sasa yuko katika Hospitali moja wapo hapa Jijini Dar es salaam.


Hivyo makala ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU.

yaani makala yote ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/ziara-ya-dc-mjema-yamuibua-mbakaji-sugu.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "ZIARA YA DC MJEMA YAMUIBUA MBAKAJI SUGU PUGU."

Post a Comment

Loading...