Loading...

CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI

Loading...
CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI
link : CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI

soma pia


CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI



Na John Luhende
mwambawahabari
Chama cha kutetea Abiria Tanzania CHAKUA kimesema kimefanya utafiti kuhusu mfumo wa ukataji tiketi za mabasi yaendayo Mikoani  na kubaini kuwa  suruhisho pekee la kuondoa ususumbufu kwa  Abiria kuibiwa na  kuuziwa tiketi feki , ni kuanzia kutumia kwa mfumo wa tiketi za kielektroniki .

Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa chamahicho  bw Hassan Mchanjama  ameleza faida za mfumo huu kuwani pamoja na  kuokoa muda kwa Abiria kwenda kununua tiketi vituo vya Mabasi  hali itakayo saidia kuondoa kero ya abiria kuIwa tiket feki  kuzishiwa nauli  ubabaishaji ,utapeli,na wizi ulikithirikwa wapigadebe  na kuirahishia TRA kukusanya kodi.

Aidha Chakua imekamata vitabu vya tiketi  zinazo tumika kuwatapeli Abiria ambapo tiketi hizi huandikwa bila kuonyesha Mwisho wa safari ya Abiria  na vitabubu hivyo vimekamatwa mikoa ya Mbeya na DSM , na kuongeza kuwa ofisi za chama hicho kimekuwa kikipokea  malalamiko  45 hadi 50 kwa nchi mzima kwa siku kuhusu utapeli kwa Abiria .

Pamoja na hayo  Mchanjama ameitaka Serikali  kutosikiliza majungu kutoka kwa  wamiliki wa Mabasi kwa kuwa hawananianjema namfumo huo kwa kuwa unawabana walipe kodi.
 amesemakupitia mfumo huu utawasaidia wamiliki wa mabasi kupata pesa zao kwa uhakika zaidi tofauti na ilivyo sasa kwani mawakala na makalani wamekuwa wakitoloka na mauzo ya tiketi, mfumo huu utawabana.

Hata hivyo Chakua kimewaomba wamiliki wa mabasi hayo kuwaweka vijana waaminifu kwenye utoaji wa huduma bora zenye kukidhi usalama wa abiria na mali zao.

Naye katibu idara ya reli Maulid Masalu  amewaomba waandishi wa habari kushirikiana kwa karibu na Chakua katika kuielemisha jamii kuhusiana na faida ya utumiaji wa njia ya kietronic ambayo itawapa ubora na usalama watumiaji wa barabara,reli kuwa yenye uhakika.  

                                                    


Hivyo makala CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI

yaani makala yote CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/chakua-yaitaka-serikali-kuanza-kutumia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CHAKUA YAITAKA SERIKALI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA TIKETI ZA KIELECTRONIC KATIKA VITUO VYA MABASI YA MIKOANI"

Post a Comment

Loading...