Loading...

ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA

Loading...
ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA
link : ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA

soma pia


ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA

 Wanachama wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania,Wakimsikiliza kwa makini  mkuu wa Kitengo cha wateja wakubwa wa Orbit Security  ambao ni washauri wakuu wa  maswala ya uuzaji wa hisa za Vodacom Tanzania PLC,Godfrey Gabriel alipokuwa akitoa elimu juu ya ununuaji wa hisa za  kampuni hiyo jana Morogoro.
 Baadhi ya wanachama wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania,Wakisoma mkutasari wa matarajio wa hisa  za Vodacom Tanzania  PLC, Walipokuwa wakipatiwa elimu ya ununuaji hisa za kampuni hiyo na mawakala wa uwekezaji wa Orbit Security  ambao ni washauri wakuu wa maswala ya hisa za Vodacom Tanzania PLC  jana mkoani Morogoro.
 Mkuu wa Kitengo cha wateja wakubwa wa kampuni ya  uwakala wa uwezeshaji  ya Orbit Security ambao ni washauri wakuu wa  maswala ya uuzaji hisa za Vodacom Tanzania PLC  Godfrey Gabriel (kushoto) akimsikiliza  mmoja wa wanachama wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania, Gebha Nyoni  aliyekuwa akiuliza swali juu ya uuzaji wa hisa za Vodacom  baada ya kupata elimu  ya ununuaji wa hisa wakati wa   semina ya Utawala bora  kwa viongozi wa SACCOS  iliyofanyika mkoani Morogoro jana.
 Mmoja wa washiriki wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania  ,wakionyeshwa kipengele kilichopo katika mkutasari wa matarajio wa hisa  za Vodacom Tanzania  PLC na  Mkuu wa Kitengo cha wateja wakubwa wa kampuni ya  uwakala ya uwezeshaji  ya Orbit  Security ambao ni washauri wakuu wa  maswala ya uuzaji wa hisa za Vodacom Tanzania PLC, Godfrey Gabriel (kushoto)wakati wa kutoa elimu juu ya ununuaji wa hisa za  kampuni hiyo jana Morogoro.
 Baadhi ya wanachama wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania  ,wakisoma fomu za kununua  hisa  za  Vodacom Tanzania  PLC ,wakati walipokuwa wakipewa elimu juu ya ununuaji wa hisa za kampuni hiyo na   mawakala wa kampuni ya  uwekezaji ya Orbit  Security ambao ni washauri wakuu wa kampuni hiyo maswala ya hisa .
Mkurugenzi wa uendeshaji  wa kampuni ya uwakala ya  uwekezaji ya Orbit  Security  ambao ni washauri wakuu wa Vodacom Tanzania PLC  kuhusiana na maswala ya uuzaji hisa,Juventus Simon akiwaelekeza  wanachama wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania  jinsi ya kujaza fomu za kununua hisa za Vodacom wakati wa semina maalum ya kununua hisa za kampuni hiyo iliyofanyika jana Morogoro.


Hivyo makala ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA

yaani makala yote ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/elimu-ya-kununua-hisa-yatolewa-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ELIMU YA KUNUNUA HISA YATOLEWA KWA CHAMA CHA MUUNGANO WA VYAMA VYA USHIRIKA(SACCOS) TANZANIA"

Post a Comment

Loading...