Loading...
title : IDARA YA HABARI YAFANYA MAHOJIANO NA MAKAMU WA RAIS
link : IDARA YA HABARI YAFANYA MAHOJIANO NA MAKAMU WA RAIS
IDARA YA HABARI YAFANYA MAHOJIANO NA MAKAMU WA RAIS
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mahojiano maalumu na Mkurugenzi Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbasi kuhusu masuala ya Muungano kwa ujumla kuelekea maadhimisho ya Miaka 53 ya Muungano.
Mkurugenzi Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbasi akimkabidhi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Jarida la Nchi yetu linalotolewa na Idara ya Habari ( MAELEZO). Jarida hilo liliandaliwa kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) katika picha ya pamoja na watumishi wa Idara ya Habari (MAELEZO) mara baada ya mahojiano maalumu kuelekea Maadhimisho ya Miaka 53 ya Muungano( kutoka kushoto ni Beatrice Lyimo, Dkt. Hassan Abbasi, Jonas Kamaleki na Hassan Silayo.
Hivyo makala IDARA YA HABARI YAFANYA MAHOJIANO NA MAKAMU WA RAIS
yaani makala yote IDARA YA HABARI YAFANYA MAHOJIANO NA MAKAMU WA RAIS Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala IDARA YA HABARI YAFANYA MAHOJIANO NA MAKAMU WA RAIS mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/idara-ya-habari-yafanya-mahojiano-na_20.html
0 Response to "IDARA YA HABARI YAFANYA MAHOJIANO NA MAKAMU WA RAIS"
Post a Comment