Loading...

Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege

Loading...
Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege
link : Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege

soma pia


Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege

Umetimiza miaka 10 na siku 14 toka mwenyezi mungu alipokuchukua katika hospitali ya regency dsm tarehe 05/04/2007 siku ya alhamisi kuu. 
 
Unakumbukwa sana na mkeo mama Helena D. Ndege, wanao: Esaka D. N. Mugasa, James, Lawi, Anna, Mary, Lucy, Catherine, Tabu, Vicent, Joseph, Mwavisu, wanao wengine wote, Wajukuu, Vitukuu, ndugu, Jamaa, marafiki, wanafunzi wako, waalimu wenzio na majirani. 
 
Unakumbukwa pia kwa mchango wako mkubwa wa elimu hapa nchini toka ulipofungua shule ya msingi sirari mwaka 1954 ukiwa mwl. mkuu, na baadaye kufundisha katika shule za utegi, abainano, marasibora na wanyere. sisi tulikupenda sana lakini mungu alikupenda zaidi.
 
Jina la Bwana lihimidiwe. Amen.
 
Misa ya kumwombea marehemu imefanyika leo tarehe 18/04/2017 saa 4.00 asubuhi nyumbani kwake shinyanga mjini - mtaa wa lubaga.


Hivyo makala Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege

yaani makala yote Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/kumbu-kumbu-ya-misa-ya-marehemu-mwl.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kumbu kumbu ya Misa ya Marehemu Mwl. Dionis Ndege"

Post a Comment

Loading...