Loading...

ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE

Loading...
ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE
link : ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE

soma pia


ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE

Mwanadada maarufu na tajiri, Mganda aishie Afrika ya Kusini, Zarina Hussein ama Zari the bosslady ametumia ukurasa wake wa Instagram leo hii kutuma picha mbalimbali akiwa na mume wake, msanii maarufu, Mtanzania Diamond Platinumz wakiwa na watoto wao wawili, Princess tiffah na Prince Nillan.


 Zari ameandika kuwa, kwa tafsiri isiyo rasmi " pale unapodhani wanawake matajiri hawawasikilizi wanaume wao, kumbe ndio hasa wanawapa umakini mkubwa sana...usidanganyike uboss huishiaga tu ofisini...kwa wanaume zao hutuliaga tulii kama maji ya mtungini"


Angalia hapa chini post yenyewe aliyoiweka instagram.



Picha mbalimbali alizoweka Zari leo akiwa na mume wake Diamond na familia yao










Hivyo makala ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE

yaani makala yote ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/alichokisema-zari-wa-diamond-kuhusu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ALICHOKISEMA ZARI WA DIAMOND KUHUSU UTAJIRI WAKE NA NDOA YAKE"

Post a Comment

Loading...