Loading...

Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto

Loading...
Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto
link : Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto

soma pia


Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto


Jemah Makamba

MKAZI wa Kivule, Dar es Salaam, Juma Hassan (40), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akituhumiwa kunajisi mtoto wa miaka 10.

Akisoma mashitaka hayo jana mbele ya Hakimu John Msafiri, mwendesha mashitaka, Neema Mosha alidai mshitakiwa alitenda kosa hilo Machi 4 Kivule.

Baada ya kusomewa mashitaka hayo, alikana lakini akashindwa kukidhi masharti ya dhamana na kurudishwa rumande hadi Juni 3 kesi hiyo itakapotajwa.


Hivyo makala Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto

yaani makala yote Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/kizimbani-akidaiwa-kunajisi-mtoto.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto"

Post a Comment

Loading...