Loading...

MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017

Loading...
MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017
link : MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017

soma pia


MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017


Displaying IMG_140255.jpg
   
Mkuu wa Shule ya St. Joseph Cathedral, Sista Theodora Faustine akimkabidhi zawadi na cheti, Prof. Rwekaza Mukandala ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya sita ya kidato cha sita, ili ampatie mhitimu. Mahafali hayo yalifanyika Jumamosi, Mei 13, 2017 shuleni hapo. (Picha na Irene Bwire)


Displaying IMG_131548.jpg

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Prof. Rwekaza Mukandala ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya sita ya kidato cha sita ya Shule ya St. Joseph Cathedral, akizungumza na wahitimu (hawapo pichani). Mahafali hayo yalifanyika Jumamosi, Mei 13, 2017 shuleni hapo. (Picha na Irene Bwire)

Displaying IMG_145019.jpg
Viranja wa darasa la PCM, Martin ….. na Nsobya Musona wakipokea zawadi ya keki kutoka kwaMakamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Prof. Rwekaza Mukandala ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya sita ya kidato cha sita ya Shule ya St. Joseph Cathedral, yaliyofanyika Jumamosi, Mei 13,2017) shuleni hapo. (Picha na Irene Bwire)



Displaying DSCF0011.JPG

Baadhi ya wazazi, walezi na ndugu walioshiriki mahafali ya sita ya kidato cha sita ya shule ya sekondari ya St. Joseph Cathedral yaliyofanyika Jumamosi, Mei 13, 2017 shuleni hapo.
(Picha na Irene Bwire)

Displaying DSCF0009.JPG


Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Bibi Margreth Ikongo akitoa shukkrani mgeni rasmi, Prof. Rwekaza Mukandala pamoja na wazazi na walezi walioshiriki mahafali ya sita ya kidato cha sita ya shule ya sekondari ya St. Joseph Cathedral yaliyofanyika Jumamosi, Mei 13, 2017 shuleni hapo. (Picha na Irene Bwire)


Hivyo makala MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017

yaani makala yote MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/mahafali-st-joseph-14052017.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAHAFALI ST. JOSEPH 14.05.2017"

Post a Comment

Loading...