Loading...

Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi

Loading...
Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi
link : Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi

soma pia


Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.), akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa ngazi ya Mawaziri wa Kamisheni ya Pamoja ya Kitaifa kati ya Tanzania na Afrika Kusini, uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake Mhe. Mahiga alieleza mkakati wa Serikali ya Tanzania na Afrika Kusini katika kuongeza maeneo ya ushirikiano hususan katika biashara na uwekezaji.

Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Afrika Kusini, Mhe. Maite Nkoana - Mashabane akihutubia katika mkutano huo ambao ulitanguliwa na mkutano wa siku mbili wa Makatibu wakuu. Pamoja na Mambo mengine, Mhe. Mashabane alieleza umuhimu wa kukuza uhusiano wa kihistoria uliopo baina ya mataifa hayo mawili ili kuwaletea maendeleo wananchi wa mataifa yote. Pia alitumia fursa hiyo kutoa salamu za rambirambi kwa taifa la Tanzania kwa kupatwa na msiba ambao umepunguza nguvu kazi na wataalamu wa kizazi kijacho.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga akitoa utangulizi pamoja na kuratibu ratiba ya ufunguzi wa mkutano.

Sehemu ya Mawaziri wa Tanzania na viongozi waandamizi wa Serikali ya Tanzania na Afrika Kusini wakifuatilia Mkutano.

Sehemu nyingine ya Mawaziri na Viongozi wa Serikali ya Tanzania na Afrika kusini wakifuatilia Mkutano.
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania na Afrika Kusini ambao pia walikua wenyeviti wa mkutano huo wakitoa ufafanuzi wa ratiba kwa Bi. Mindi wakati wa mkutano huo wa ngazi ya Mawaziri.

Picha ya Pamoja ya Mawaziri na Viongozi wa Serikali ya Tanzania na Afrika Kusini.


Hivyo makala Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi

yaani makala yote Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/matukio-tanzania-na-afrika-kusini.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio : Tanzania na Afrika kusini kuongeza maeneo ya ushirikiano ili kunyanyua uchumi"

Post a Comment

Loading...