Loading...

MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO

Loading...
MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO
link : MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO

soma pia


MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO


Meya wa jiji la Dar es salaam Isya Mwita aliye vaa kofia nyeupe akicheza Bao na mbunge wa Temeke Mhe. Abdallah Mtolea aliye vaa shati  la maua, katika mchezo huo wa ufunguzi  Mchezo ambapo Meya alishinda mchezo mmoja na miwili wakatoka  suluhu.(picha na John Luhende).

Na John Luhende
mwambawahabari
Chama cha  mchezo wa Bao Mkoa wa Dar es salaam , kimesema kinakabiliwa na changamo nyingi  ikiwemo ukosefu wa ofisi na fedha za kuhudumia na kufanya usajili wa  chama hicho .

Akizungumza mbele ya mgeni rasmi  mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Dar es salaam ,  Kiraba Ngibombi .Amemwomba Mstahiki Meya katika mashindano yajayo kuwagharimia wachezaji angalau chakula na  wa wachezaji hao.




Meya wa jiji la Dar es salaam Isaya Mwita akizungumza katika  ufunguzi huo amesema
Mchezo wa hao ni mzuri sana ila una dharaulika ,ameahidi kuwa  saidia kufanya usajili wa chama chao ,amesema anatamani kuna mchezo huu una fahamika kama Michezo mingine.

Aidha ameahidi katika mashindano yajayo kugharimia nauli na chakula kwa wachezaji watakao shiriki mashindano hayo na kuwa himzi wachezaji hao kuuthamini mchezo huo.

Mbunge

Naye Mbunge wa Temeke Mheshimiwa Adallah Mtolea .Amemshukuru Meya kwa kuanzishia mashindano hayo wilayani Temeke,  amesema nivema sasa wanatemeke wakaelekeza  nguvu zao katika mchezo wa Bao kwa kuwa   Michezo  mingine kama soka haija fanikiwa sana.

Pamoja na hayo Meya wajiji na Mbunge wa Temeke Abdalah Mtolea wamecheza Michezo  mitatu ya ufunguzi ambapo Meya ameshinda mchezo mmoja  na miwili wakatoka suluhu.


Hivyo makala MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO

yaani makala yote MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/meya-wa-jiji-la-dsm-afungua-mashindano.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MEYA WA JIJI LA DSM AFUNGUA MASHINDANO YA MCHEZO"

Post a Comment

Loading...