Loading...

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake

Loading...
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake
link : Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake

soma pia


Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake

 Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela (kati) akiwa nchini China akikagua mitambo na mashine zilizofungwa tayari kwa kusafirishwa kupelekwa mkoa Tanga kwa ajili ya uwekezaji wa kiwanda cha Cement kitakachogharimu Dola za  Kimarekani 1.4 bilion kitakachozalisha tani milioni saba na kuajiri watanzania 4000.  Ujenzi wa kianda hicho unatarajiwa kuanza mwezi ujao. Kushoto ni Ndg. Suleiman Serela, Mtanzania aliye masomoni nchini China akichukua PhD ya Sheria
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela (kati) akiwa na wenyeji wake nchini China akikagua mitambo na mashine zilizofungwa tayari kwa kusafirishwa kupelekwa mkoa Tanga kwa ajili ya uwekezaji wa kiwanda cha Cement 
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela na  Ndg. Suleiman Serela wakiwa nchini China wakioneshwa mfano wa kiwanda cha cement kitachojengwa mkoani Tanga 
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela (kati) akiwa na mwenyeji wake nchini China akiendelea kukagua mitambo na mashine zilizofungwa tayari kwa kusafirishwa kupelekwa mkoa Tanga kwa ajili ya uwekezaji wa kiwanda cha Cement 


Hivyo makala Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake

yaani makala yote Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/mkuu-wa-mkoa-wa-tanga-mhe-martine.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akagua mitambo ya kiwanda cha Cement kitachojengwa mkoani mwake"

Post a Comment

Loading...