Loading...

Posta yaanzisha vituo vya kimtandao

Loading...
Posta yaanzisha vituo vya kimtandao - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Posta yaanzisha vituo vya kimtandao, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Posta yaanzisha vituo vya kimtandao
link : Posta yaanzisha vituo vya kimtandao

soma pia


Posta yaanzisha vituo vya kimtandao


Mary Mtuka

Deogratius Kwiyukwa
SHIRIKA la Posta Tanzania limeanzisha vituo vya kisasa vitavyotoa huduma jumuishi za kimtandao kwa jamii.

Aidha, limepata Mkurugenzi Mtendaji mpya atakayekuwa pia Postamasta Mkuu, Deogratius Kwiyukwa, nafasi ambayo awali ilikuwa ikishikiliwa na Fortunatus Kapinge ambaye anatarajia kustaafu hivi karibuni.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi huyo mpya alisema katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii kuna haja ya shirika kwenda na wakati kwa teknolojia ya kisasa ili kufikia wateja haraka.

Kwiyukwa alitaja huduma zinazotolewa kwa mtandao kuwa ni za uwakala wa malipo ya gawio ya kampuni, mifuko ya hifadhi ya jamii ili kurahisisha malipo ya wastaafu, malipo ya Baraza la Mitihani, uwakala wa benki na ulipaji kodi zikiwamo za TRA na huduma za Posta.

Alisema kuna kila sababu ya kuboresha mfumo wa shirika hilo ili kuwapunguzia wananchi usumbufu wa kufuata huduma za mtandao maeneo tofauti.

"Ni takribani wiki mbili tangu nianze kazi, lakini kama kiongozi nitahakikisha upatikanaji wa huduma bora kwa wateja wetu kwani hiyo ndiyo njia pekee kwa kila mfanyakazi," alisema Kwiyukwa.

Alisema shirika linawajibika kuhakikisha teknolojia mpya na huduma za kisasa za kiuchumi na kijamii zinafikia watu wengi zaidi katika maeneo ya vijijini na mjini ambapo kwa Dar es Salaam wamefikia kata 32.

Aliongeza kuwa shirika limeweka msukumo na ushawishi maalumu katika uazishaji vituo ili kuwezesha huduma za utawala serikalini kufanyika katika sehemu moja ikiwa ni pamoja na upimaji wa maduhuli, kodi na ada katika uendeshaji wa shughuli za Serikali yao.


Hivyo makala Posta yaanzisha vituo vya kimtandao

yaani makala yote Posta yaanzisha vituo vya kimtandao Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Posta yaanzisha vituo vya kimtandao mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/posta-yaanzisha-vituo-vya-kimtandao.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Posta yaanzisha vituo vya kimtandao"

Post a Comment

Loading...