Loading...

Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone

Loading...
Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone
link : Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone

soma pia


Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone

RAZA LEE AWAPA TAFU MABINGWA  WATETEZI WA ROLLING STONE


Na: Abubakar Khatib “Kisandu”, Zanzibar.

Mwana michezo Mohd Ibrahim “Raza Lee” ambae ni mtoto wa Mbunge wa Jimbo la Kiemba Samaki Ibrahim Raza asubuhi ya leo ameisaidia mipira timu ya kombaini ya Mjini Unguja ambao ni Mabingwa  watetezi wa Mashindano ya Vijana ya Rolling Stone, Mashindano ambayo yanatarajiwa kuanza rasmi June 29, 2017 na kumalizika July 9, 2017 jijini Arusha.

Mipira hiyo Raza Lee ameikabidhi timu hiyo Dukani kwake ambalo ni Duka la Vifaa vya Michezo ambapo Ali Othman “Kibichwa” Meneja wa Timu hiyo pamoja na Mohammed Seif “King” kocha wa timu hiyo ndio waliyopokea Mipira hiyo.


Hivyo makala Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone

yaani makala yote Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/raza-lee-awapiga-tafu-mabingwa-watetezi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Raza Lee awapiga Tafu mabingwa watetezi wa Rolling Stone"

Post a Comment

Loading...