Loading...

Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria

Loading...
Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria
link : Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria

soma pia


Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria


Na Karama Kenyuko, Globu ya Jamii

Wafanyabiashara wa kemikali Bashirifu wameaswa kufuata sheria za nchi Katika kudhibiti matumizi yasiyokuwa salama ya kemikali hizo.

Hayo yamesemwa Leo na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampuni ya Tecno Net Scientific kukutwa na Kemikali Bashirifu bila ya kuwa na kibali wala usajili.

Profesa Manyele amesema, mwaka 2014 waliipatia kampuni hiyo usajili wa miaka miwili, lakini baada ya kibali chao kuisha wamekiuka sheria na kuendelea kuagiza Kemikali bashirifu kwa kutumia vibali bandia.

Ameongeza kuwa, kufuatia kugundua hayo, vyombo vya dola vinafanya uchunguzi wa shughuli za kampuni hiyo na pindi taratibu za uchunguzi utakapokamilika kampuni hiyo itafikishwa mahakamani.

Aidha ameongeza kuwa, ili kuhakikisha kemikali hizo zinatumika katika hali iliyosalama, wafanyabiashara wote wanaojihusisha na Kemikali, kudhibiti matumizi matumizi yasiyofaa na kuzuia kutumia kwa kutengeneza mabomu, milipiko dawa za kulevya au kutumia kama silaha kama ilivyokuwa kwenye suala la watu kumwagiwa tindikali.

Aidha Prof. Manyele amesema, wafanyabiashara wote wanaojihusisha na biashara ya Kemikali bashirifu kuhakikisha wanaenda Kutoa taarifa mwenyewe pindi vibali vyao vikiisha ili wapatiwe usajili mpya.Amesema, Serikali haitasita kuwachukulia hatua wafanyabiashara wa kemikali wasiokuwa waaminifu na wanaovunja matakwa ya sheria katika uingizaji na usafirishaji wa Kemikali bashirifu.

Mkemia Mkuu wa Serikali Profesa Samwel Manyere akizungumza na waandishi habari juu uingizaji Kemikali bashirifu ambazo zinafuata sheria iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam


Hivyo makala Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria

yaani makala yote Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/wafanyabiashara-wa-kemikali-bashirifu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wafanyabiashara wa kemikali bashirifu waaswa kufuata sheria"

Post a Comment

Loading...