Loading...

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE

Loading...
WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE
link : WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE

soma pia


WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Aziz Mlima (wa kwanza kulia), akimkabidhi zawadi Afisa Mambo ya Nje, Bi. Eva Ng'itu kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa. Bi. Ng'itu amekuwa Mfakazi Hodari wa wa Wizara ya Mambo ya Nje kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017. Dkt. Mlima aliwapongeza na kuwasihi wafanyakazi waliofanya vizuri kuwa zawadi walizokabidhiwa iwe chachu ya kuongeza juhudi na ufanisi katika utumishi wao. 
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora na Mratibu wa Mafunzo wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Tagie Daisy Mwakawago naye akipokea zawadi ya ufanyakazi bora wa Idara ya Diaspora'
Bi. Nelusigwe kutoka Kitengo cha Ununuzi na Ugavi akipokea zawadi baada ya kuibuka mfanyajkazi bora wa Kitengo hicho. 
Bw. Erick Ngilangwa kutoka Idara ya Afrika akipokea zawadi ya mfanyakazi bora wa Idara hiyo 
Afisa Habari wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Rose Mbilinyi akipokea zawadi yake kutoka kwa Dkt. Mlima. 






Hivyo makala WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE

yaani makala yote WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/wizara-ya-mambo-ya-nje-na-ushirikianowa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANOWA AFRIKA MASHARIKI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE"

Post a Comment

Loading...