Loading...
title : Elimu : ATC na DIT Wasaini Mkataba wa Mashirikiano (MoU)
link : Elimu : ATC na DIT Wasaini Mkataba wa Mashirikiano (MoU)
Elimu : ATC na DIT Wasaini Mkataba wa Mashirikiano (MoU)
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Dk Richard Masika(wa tatu kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology(DIT)Profesa Preksedia Marco Ndomba(wa pili kulia) wakisaini mkataba wa mashirikiano (MoU) kati ya taasisi hizo mbili. MoU imejikita kwenye ushirikiano wa Utafiti, Taaluma, kubadilishana wataalamu, ziara za kitaaluma kwa wanafunzi.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Dk Richard Masika(kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology(DIT)Profesa Preksedia Marco Ndomba(kulia) wakisaini mkataba wa mashirikiano (MoU) kati ya taasisi hizo mbili uliofanyika katika chuo cha ufundi Arusha.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Dk Richard Masika(kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology(DIT)Profesa Preksedia Marco Ndomba(kulia) wakibadilishana mkataba wa mashirikiano (MoU) kati ya taasisi hizo mbili uliofanyika katika chuo cha ufundi Arusha.
Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology(DIT)Profesa Preksedia Marco Ndomba(kulia) akizungumza jambo baada ya taasisi hiyo na Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)kuweka saini mkataba wa mashirikiano (MoU) kati ya taasisi hizo mbili uliofanyika katika chuo cha ufundi Arusha,kushoto ni Dk Richard Massika.
Hivyo makala Elimu : ATC na DIT Wasaini Mkataba wa Mashirikiano (MoU)
yaani makala yote Elimu : ATC na DIT Wasaini Mkataba wa Mashirikiano (MoU) Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Elimu : ATC na DIT Wasaini Mkataba wa Mashirikiano (MoU) mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/elimu-atc-na-dit-wasaini-mkataba-wa.html
0 Response to "Elimu : ATC na DIT Wasaini Mkataba wa Mashirikiano (MoU)"
Post a Comment