Loading...
Loading...
- Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa , tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title :
link :

soma pia



Na. Salama Nassor - Pemba.

MTU mmoja, aliyejulikana kwa jina la Kombo Mohamed Ali (Dileji (42) ambae alikuwa fundi gereji mkaazi wa Chanjamjawiri Chake Chake Pemba, ameokotwa akiwa amefariki Dunia huko Shambani kwake Jumbe ,Wilaya ya Chake Chake Mkoa wa Kusini Pemba.



Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba, Kamanda Sheikhan Mohamed Shekhan, amesema leo majira ya saa 2-15, asubuhi amepokea tarifa  ya kuonekana maiti kwenye la shamba ya marehemu huyo huko Jumbe Chanjamjawiri Wilaya Chake Chake.



“Ni kweli ameokotwa maiti ili katika eneo hilo kwa muda wa siku tatu, katika hatua ya mwazo wa upelelezi umebaini marehemu alitoweka nyumbani kwake kwenda shambani kwa shughuli zake za kilimo.akiwa anaumwa, lakini hata  nilipofika eneo la tukio nikaona Jembe na inaoneka aliwahi kulima kidogo”,alisema Kamanda Shekhani.


Akitowa wito kwa jamii kuwa na utamaduni wa kutowa tarifa katika vyomba   husika pindipo wanapopotelewa na ndugu zao ili kuweza kujuwa matatizo yaliyomkumba.


Kwa upande wa Dokta dhamana wa Hospitali ya Chake Chake, Sharifu Hamad Khtib, alisema kifo cha marehemu kilikuwa cha kawaida baada ya kumpima na wala alikuwa hana alama ya aina yoyote ambayo ilimdhuzu.



Mwili wa marehemu teyari umeshakabidhiwa  kwa familia yake kwa ajili ya mazishi baada ya uchunguzi wa Daktari.


Hivyo makala

yaani makala yote Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/na_30.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to " "

Post a Comment

Loading...