Loading...

TANGAZO KWA UMMA

Loading...
TANGAZO KWA UMMA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANGAZO KWA UMMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANGAZO KWA UMMA
link : TANGAZO KWA UMMA

soma pia


TANGAZO KWA UMMA


Menejimenti ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF inapenda kuwafahamisha Wanachama na Umma kwa ujumla kuwa Ofisi ya Kanda ya Dar es Salaam iliyopo Mtaa wa Mkwepu, Jengo la Diplomatic House, katikati ya jiji la Dar es Salaam itahamia rasmi kwenye jengo la LAPF Millenium Towers, ghorofa ya tatu, lililopo barabara ya Ali Hassan mwinyi eneo la Makumbusho kuanzia tarehe 01/07/2017. Hivyo wanachama na wadau wote wa Mfuko wataendelea kupata huduma kulingana na matarajio yao katika mazingira yaliyoboreshwa zaidi. Karibuni sana tuwahudumie.




“Ishi na Staafu kwa Ufahari na LAPF”


Hivyo makala TANGAZO KWA UMMA

yaani makala yote TANGAZO KWA UMMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANGAZO KWA UMMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/tangazo-kwa-umma.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANGAZO KWA UMMA"

Post a Comment

Loading...