Loading...

Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu

Loading...
Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu
link : Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu

soma pia


Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu


Mary Mtuka

Teknolojia
VIJANA wametakiwa kutumia teknolojia ya mawasiliano katika kupata fursa mbalimbali, ikiwemo sera zinazoendesha nchi na hatimaye kujikwamua kimaisha.

Mwito huo umetolewa na Mgunduzi wa Mtandao wa Platform for Policy Engagement (PUPE), Farhan Yusuf katika semina ya kuwajengea uwezo vijana na kusikiliza matatizo yao mwisho mwa wiki Dar es Salam.

Alisema mitandao hiyo ikitumika ipasavyo kwa vijana ni wazi kuwa watakuwa na uwelewa mzuri na hatimae kujikwamua kiuchumi.

Yusuf alisema kutokana na changamoto kubwa ya uwelewa mdogo wa matumizi ya mitandao ameamua kuazisha PUPE ili kusainia vijana.

"Lengo langu kubwa la kuazisha mtandao huo ni kuwasaidia vijana kupata fursa ya kujifunza sera na Sheria na mambo mbalimbali yatakayo tumika katika kuiendesha nchi," alisema.

Aliongeza kuwa asilimia kubwa ya vijana wanaokaa vijiweni wamekuwa wakilalamika huku wakiwa hawajui sera wala miongozo ambayo inahusu mitandao.

Mkurugenzi Mwenza  wa  Taasisi ya Sahara  Sparks, inayojihusisha  na kuwajengea uwezo vijana katika miradi mbalimbali ya kiteknolojia, Muda Kamata  alisema wamejipanga kuwawezesha vijana hao  kuazisha mitandao mingi  zaidi.

Alisema pamoja na changamoto zinazowakabili vijana wemeona upo umuhimu wa kutumia njia ya mitandao ili kuweza kujua michanganuo mbalimbali ya kijamii kutokana na kuendelea kukuza kwa teknolojia.

Kwa upande wake Msimamizi wa Mawasiliano kutoka   Kampuni ya Teknolojia ya CIPESA, ya nchini Uganda Bassil Malaki alitumia fursa hiyo kuwa sisitiza viongozi kutumia mitandao, kwani itasaidia kutatua kero za wananchi kwa wakati.


Hivyo makala Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu

yaani makala yote Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/tumieni-teknolojia-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Tumieni teknolojia ya Mawasiliano—Mtaalamu"

Post a Comment

Loading...