Loading...

YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA

Loading...
YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA
link : YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA

soma pia


YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA

Mwambawahabari

 Beki wa Yanga, Juma Abdul, (kulia) akiruka kuwania mpira na beki wa AFC Leopards Abwao Marcus, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, leo. Katika mchezo huo AFC Leopards wameibuka na uwashinda wa mikwaju ya penati 4-2 baada ya kumalizika dakika 90 kwa sare ya 0-0.
 Mshambuliaji wa Yanga Juma Mahadhi (kulia) akiwania mpira na Kiungo wa AFC Leopards, Alan 
Katerega, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa Yanga Juma Mahadhi (kulia) akimtoka mpira na beki wa AFC Leopards, Abdallah 
Salim, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa Yanga Obrey Chirwa, akijiandaa kupiga shuti huku akizongwa na mabeki wa AFC 
Leopards, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
 Mshambuliaji wa Yanga Yusuph Mhilu (kushoto) akimtoka beki wa AFC Leopards, Abwao Marcus, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
 Winga wa Yanga, Yusuph Mhilu (kushoto) akimfinya beki wa AFC Leopards, Abwao Marcus, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa Yanga, Juma Mahadhi (kushoto) akichuana kuwania mpira na Abdallah Salim, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
 Mshambuliaji wa Yanga, Juma Mahadhi (kushoto) akichuana kuwania mpira na Abdallah Salim, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
 Mhilu akimkalisha beki wa AFC Leopards


Hivyo makala YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA

yaani makala yote YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/yanga-yaaga-mashindano-ya-sportpesa-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "YANGA YAAGA MASHINDANO YA SPORTPESA KWA MIKWAJU YA PENATI,KUNA UWEZEKANO FAINALI IKAWA DABI YA MASHEMEJI WA KENYA"

Post a Comment

Loading...