Loading...

AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA

Loading...
AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA
link : AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA

soma pia


AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA

Kampuni ya simu za mkononi Airtel kwa kushirikiana na Dar Teknohama Business Incubator (DTBi) leo imezindua maabara ya Kompyuta ijulikanayo kama  ‘Airtel Fursa Lab’ katika shule ya msingi Kijitonyama iliyopo  Wilaya ya Kinondoni jijini kwa lengo la kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa masomo.   
Akizungumza katika uzinduzi huo, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Profesa Faustine Kamuzora amesema kuwa kuweka nguvu ya pamoja kama hiyo kutawezesha kuchochea mapinduzi ya vijana wa kitanzania katika sekta ya habari na mawasiliano.  
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel, Betrice Singano amesema kuwa Airtel imejipanga kujenga vijana wenye ujuzi na weledi wakiwa bado watoto wadogo kutumia teknolojia ya mawasiliano ya simu pamoja na Tehama katika kukuza ujuzi.    
Naye Mkurugenzi Mkuu wa Atamia ya Teknohama ya Dar es salaam ( DTBi) chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Eng. George MulaMula amesema kuwa Tanzania inachangamoto kubwa katika kutoa mafunzo kwa vitendo, hivyo maabara hiyo itachochea kasi ya ubunifu katika Teknolojia itakayoleta tija katika taifa
 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Profesa Faustine Kamuzora akizungumza katika uzinduzi maabara ya Kompyuta ijulikanayo kama  ‘Airtel Fursa Lab’ katika shule ya msingi Kijitonyama iliyopo  Wilaya ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam.kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Atamia ya Teknohama ya Dar es salaam ( DTBi) chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Eng. George MulaMula na kulia NI Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel, Betrice Singano
 Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Betrice Singano akizungumza  juu ya huduama ya maabara ya kompyuta inavyofanya kazi  kwa wanafunzi ijulikanayo kama  ‘Airtel Fursa Lab’ hafla iliyofanyika  katika shule ya msingi Kijitonyama iliyopo  Wilaya ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Atamia ya Teknohama ya Dar es salaam ( DTBi) chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Eng. George MulaMula akizungumza katika hafla ya uzinduzi maabara ya Kompyuta ijulikanayo kama  ‘Airtel Fursa Lab’ katika shule ya msingi Kijitonyama iliyopo  Wilaya ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Profesa  Faustine Kamuzora kwakushirikiana Mkurugenzi Mkuu wa Atamia ya Teknohama ya Dar es salaam ( DTBi) chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Eng. George MulaMula pamoja na Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel, Betrice Singano wakikata utepe kuashiria uzinduzi  wa maabara ya Kompyuta ijulikanayo kama  ‘Airtel Fursa Lab’ katika shule ya msingi Kijitonyama iliyopo  Wilaya ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam
 Sehemu ya walimu na wanafunzi
 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Profesa  Faustine Kamuzora akiwa na  Mkurugenzi Mkuu wa Atamia ya Teknohama ya Dar es salaam ( DTBi) chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Eng. George MulaMula pamoja na Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel, Betrice Singano wakipata maelezo ya maabara ya Kompyuta ijulikanayo kama  ‘Airtel Fursa Lab’ katika shule ya msingi Kijitonyama iliyopo  Wilaya ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam. Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii.


Hivyo makala AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA

yaani makala yote AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/airtel-kwa-kushrikiana-na-dar-teknohama.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "AIRTEL KWA KUSHRIKIANA NA DAR TEKNOHAMA BUSINESS INCUBATOR (DTBI) YAZINDUA MAABARA YA KOMPYUTA"

Post a Comment

Loading...