Loading...

BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU

Loading...
BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU
link : BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU

soma pia


BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU


Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.

ROBO fainali ya Ndondo Cup inaendelea tena siku ya Alhamisi kwa timu nane kuumana katika hatua ya robo fainali ya michuano hiyo Uwanja wa Kinesi. 
Droo hiyoi iliyochezeshwa jana na kila timu kufahamu anapambana na nani katika hatua ya robo iliweza kuwa ya aina yake baada ya watangazaji wa vipindi mbalimbali wa Clouds kugawana timu hizo na kuwapa ahadi lukuki .

Hii ndo Ratiba ya Robo fainali
Alhamis 27/07/2017

Vijana Rangers vs Kibada one 

Ijumaa Tar 28/07/2017

Gomis United vs Mlalakuwa Rangers 

Jumamosi Tar 29/07/2017

Mpakani Combine vs Misosi Fc 

Jumapili Tar 30/07/2017

Keko Fanicha vs Stimutosha Fc

Kipindi cha "Leo tena" wenyewe wamebaki na timu yao Mlalakuwa Rangers, kwa hiyo hawakuwepo kwenye draw ya kila kipindi kupata timu yake. "XXL" wao timu yao ni Keko Furniture, "Jahazi" wenyewe wameangukia kwa Mpakani Kombaini, "Clouds 360" timu yao ni Misosi FC wakati "Amplifier" watakuwa na Vijana Rangers, Kibada One wameangukia kwa "Power Breakfast" huku Goms United wakitua kwa "Shilawadu" na Stim Tosha ikienda kwa wazee wa "Alasiri".
Baada ya droo hiyo kila kipindi kilitoa ahadi na mbwembwe kibao na kuziahidi timu hizo kuwa watanunua kila goli huku kipindi cha 360 wakitoa ahadi ya kuwapeleka mbuga za wanyama iwapo watakuwa mabingwa.


Hivyo makala BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU

yaani makala yote BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/baada-ya-ratiba-ya-robo-fainali-ndondo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BAADA YA RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP KUTOKA, WATANGAZAJI CLOUDS WAGAWIANA TIMU"

Post a Comment

Loading...