Loading...

Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Loading...
Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje
link : Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

soma pia


Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Suzan Kolimba (Mb), akimkaribisha ofisini kwake Balozi wa Italia nchini Tanzania, Mhe. Roberto Mengoni na ujumbe wake kwa ajili ya kufanya mazungumzo. 
Dtk. Kolimba akisisitiza jambo kwenye mazungumzo na Balozi wa Italia nchini, Mhe. Roberto Mengoni. Katika mazungumzo hayo alikuwepo pia Makamu wa Rais wa Shirika la Taifa la Reli la Italia, Bw. Giovanni Roca ambaye amekuja nchini kuangalia fursa za uwekezaji katika sekta ya reli baada ya kuhamasishwa na Mhe. Naibu Waziri alipotembelea Italia hivi karibuni. 
Ujumbe wa Italia uliofuatana na Mhe. Balozi ukifuatilia mazungumzo. 
Bw. Charles Faini (kulia), Katibu wa Naibu Waziri na Bw. Salvatory Mbilinyi wa Wizara ya Mambo ya Nje wakinukuu taarifa muhimu 
Picha ya pamoja 


Hivyo makala Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

yaani makala yote Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/balozi-wa-italia-atembelea-wizara-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Balozi wa Italia atembelea Wizara ya Mambo ya Nje"

Post a Comment

Loading...