Loading...

Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya

Loading...
Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya
link : Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya

soma pia


Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya

IGP Sirro, amefanya mabadiliko katika jeshi la polisi ili kuboresha utendaji wa jeshi hilo kwa kumuhamisha aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mohamed Mpinga na kuwa Kamanda wa polisi wa mkoa Mbeya

Katika taarifa iliyotolewa na jeshi la polisi inasema kuwa aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya (DCP) Dhahiri Kidavashari amehamishiwa Makao Makuu ya upelelezi.

Kufuatia mabadiliko hayo nafasi aliyokuwa nayo Mohamed Mpinga imechukuliwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Fortunatus Musilimu.

Kwa mujibu wa Barnabas Mwakalukwa (ACP) ambaye ni msemaji wa jeshi la polisi, Makao Makuu ya Jeshi hilo amesema uhamisho huo ni wa kawaida katika kuboresha utendaji wa kazi za Polisi kwa mujibu wa kanuni, taratibu na miongozo ya Jeshi la Polisi.

IGP Saimon Sirro alishauriwa na Rais John Pombe Magufuli kufanya mabadiliko katika jeshi hilo ili kuleta ufanisi na kuboresha utendaji wa jeshi la polisi nchini, jambo ambalo tayari inaonyesha ameanza kulifanyia kazi kwa kufanya mabadiliko kama haya.


Hivyo makala Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya

yaani makala yote Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/kamanda-mpinga-angolewa-usalama.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kamanda Mpinga Ang’olewa Usalama Barabarani.....Apelekwa Kuwa RPC Mbeya"

Post a Comment

Loading...