Loading...

Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya

Loading...
Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya
link : Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya

soma pia


Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya






Jeneza lenye mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe aliyekuwa Mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, ukiwa nyumbani kwao katika Kijiji cha Ikolo, wilayani Kyela mkoani Mbeya. mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe unatarajiwa kuhifadhiwa kwenye nyumba yake ya Milele mchana huu katika Makaburi ya familia, Kijijini kwao Ikolo, wilayani humo.

Prof. Mark Mwandosya na Mkewe Bi. Lucy Mwandosya wakiwafariji watoto wa Marehemu wakati waliopofika msibani hapo mapema leo.

Prof. Mark Mwandosya akimfariji Dkt. Harrison Mwakyembe aliyefiwa na Mkewe, Linah George Mwakyembe wakati maandalizi ya mazishi yake, Kijijini kwao Ikolo, wilayani Kyela mkoani Mbeya. Kushoto ni Mke wa Prof. Mwandosya, Bi. Lucy Mwandosya.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akilakiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel alipowasili nyumbani kwa Dkt. Harrison Mwakyembe, Kijijini Ikolo, wilayani Kyela, tayari kwa Mazishi ya Marehemu Linah George Mwakyembe aliyekuwa Mke wa Dkt. Mwakyembe.

Wakuu wa Mikoa ya Lindi na Njombe, Godfrey Zambi (kushoto) na Ole Sendeka (kulia) wakiwasili nyumbani kwa Dkt. Harrison Mwakyembe, Kijijini Ikolo, wilayani Kyela.

























Hivyo makala Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya

yaani makala yote Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/matukio-mazishi-ya-linah-mwakyembe.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio : Mazishi ya Linah Mwakyembe kufanyika leo Kijijini Ikolo, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya"

Post a Comment

Loading...