Loading...

Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini

Loading...
Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini
link : Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini

soma pia


Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini

Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga jana alikabidhi gari la wagonjwa Mkuu wa wilaya Shinyanga mjini Mhe. Josephine Matiro  katika sherehe fupi iliyofanyika mjini humo. Sambamba na gari hilo pia Mhe. Mayenga alitoa Shilingi  milioni 17 ambapo milioni 15 ni  mchango wake wa ujenzi wa chumba cha upasuaji na milioni mbili  kwa ajili ya kifaa cha maabara katika kituo cha Afya cha Kambarage.
 Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akionesha funguo la gari la wagonjwa kabla ya kuikabidhi kwa Mkuu wa wilaya Shinyanga mjini Mhe. Josephine Matiro (kulia)  katika sherehe fupi iliyofanyika mjini humo
  Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akisindikizwa kwa nderemo na wananchi waliojawa na furaha baada ya kukabidhi gari la wagonjwa  kwa Mkuu wa wilaya Shinyanga mjini Mhe. Josephine Matiro (kulia)  katika sherehe fupi iliyofanyika mjini humo
La wagonjwa ambalo   Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga amemkabidhi  Mkuu wa wilaya Shinyanga mjini Mhe. Josephine Matiro.


Hivyo makala Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini

yaani makala yote Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/mbunge-wa-viti-maalumu-mhe-lucy-mayenga.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akabidhi gari la wagonjwa na shilingi milioni 17 kituo cha afya shinyanga mjini"

Post a Comment

Loading...