Loading...
title : WAZIRI MKUU AKUTANA NA TIMU YA SINGIDA UNITED BUNGENI MJINI DODOMA LEO
link : WAZIRI MKUU AKUTANA NA TIMU YA SINGIDA UNITED BUNGENI MJINI DODOMA LEO
WAZIRI MKUU AKUTANA NA TIMU YA SINGIDA UNITED BUNGENI MJINI DODOMA LEO
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na timu ya Singida United, kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Julai 5, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahi jambo na Kocha wa Singida United Hans van der Pluijm, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni, 5, 2017 katikati ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba.
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba, katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 5, 2017.
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge, Sadiq Murad wa Mvomero (kushoto) na Salim Turky wa Jimbo la Mpendae (kulia) katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma Julai 5, 2017.
Hivyo makala WAZIRI MKUU AKUTANA NA TIMU YA SINGIDA UNITED BUNGENI MJINI DODOMA LEO
yaani makala yote WAZIRI MKUU AKUTANA NA TIMU YA SINGIDA UNITED BUNGENI MJINI DODOMA LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MKUU AKUTANA NA TIMU YA SINGIDA UNITED BUNGENI MJINI DODOMA LEO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/waziri-mkuu-akutana-na-timu-ya-singida.html
0 Response to "WAZIRI MKUU AKUTANA NA TIMU YA SINGIDA UNITED BUNGENI MJINI DODOMA LEO"
Post a Comment