Loading...

BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE

Loading...
BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE
link : BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE

soma pia


BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE

Na Ramadhani Ali – Maelezo 

Wafanyabiashara wa Zanzibar wanaoagiza bidhaa kutoka nje wametakiwa kuwa waadilifu na kuwahurumia wananchi wenzao wakati wanaponunua bidhaa kwa kuangali ubora na kuacha tabia ya kuchukua bidhaa dhaifu zenye bei ndogo kwa lengo la kutafuta faida kubwa.
Mkuu wa Kitengo cha ufuatiliaji madhara ya chakula kutoka Bodi ya Madawa na Vipondozi Zanzibar Bibi Aisha Suleiman alitoa ushauri huo wakati bodi hiyo ilipofanya zoezi la kuangamiza tani 27.5 za mchele ulioharibika na chakula mchanganyiko kilo 400 kilichomaliza muda ikiwemo tende na juice katika Dampo la Kibele Mkoa Kusini Unguj.
Bi. Amina ambae alikuwa msimamizi mkuu katika zoezi hilo alisema mchele ulioharibika uliingizwa nchini na Kampuni ya Zenj General Machandise na uliingia maji wakati wa kusafirishwa na chakula kilichomaliza muda wa matumizi kiligundulika katika maduka mbali mbali ya Zanzibar baada ya kufanyika ukaguzi katika maduka hayo.
Alisema kwa mujibu wa sheria bidhaa zinapoharibika wakati wa kusafirishwa na ikagundulika wakati wa ukaguzi bandarini kabla ya kuingia sokoni mmiliki wa bidhaa hiyo huwa hanakosa na hulazimika kutoa gharama za kuangamiza bidhaa hiyo yeye mwenyewe.
Wafanyakazi wa Bodi ya Chakula Dawa na Vipodozi Zanzibar wakishusha bidhaa zilizoharika katika Dampo la Kibele tayari kwa kuangamizwa.
Moja ya gari lililobeba mchele ulioharibika likishushwa na Wafanyakazi wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar katika Dampo la Kibele Mkoa Kusini Unguja.
Gari la kijiko kutoka Wizara ya Ujenzi na Mawasiliano likiangamiza mchele tani 27.5 ulioharibika katika Dampo la Kibele Mkoa Kusini Ungua.


Picha na Makame Mshenga.



Hivyo makala BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE

yaani makala yote BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/bodi-ya-chakula-dawa-na-vipodozi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BODI YA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAHARIBU BIDHAA MBOVU NA ZILIZOPITWA NA MUDA WAKE"

Post a Comment

Loading...