Loading...

Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda

Loading...
Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda
link : Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda

soma pia


Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda

Kwa mara nyingine tena upelelezi dhidi kesi ya utakatishaji fedha na kugushi inayomkabili Rais wa  Klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu wake Godfrey Nyange Kaburu umedaiwa kuwa bado kukamilika na kwamba kuna nyaraka mbalimbali zimepelekwa kwa mtaalamu wa maandishi.

Wakili wa serikali, Eatazia Wilson amedai hayo leo mbele ya Hakimu Mkazi Victoria Nongwa, pindi kesi hiyo imekuja kwaajili ya kutajwa na kudai bado wanasubiri ripoti ya polisi.

Kufuatia taarifa hiyo, Hakimu Nongwa aliutaka upande wa jamuhuri kujitahidi kuharakisha upelelezi kwasababu washtakiwa wapo ndani na kwamba
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Septemba 8 mwaka huu kwa ajili ya kutajwa.

Aveva na Kaburu  wanakabiliwa na mashtaka matano ya kughushi, kuwasilisha nyaraka ya uongo na kutakatisha fedha USD 300,000.



Hivyo makala Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda

yaani makala yote Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/kesi-ya-aveva-kaburu-yazidi-kupigwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kesi ya Aveva, Kaburu yazidi kupigwa kalenda"

Post a Comment

Loading...