Loading...
title : KISA MARADHI YA KISUKARI, MKE AMKIMBIA MUME WAKE NA KUHAMIA KWA JIRANI !
link : KISA MARADHI YA KISUKARI, MKE AMKIMBIA MUME WAKE NA KUHAMIA KWA JIRANI !
KISA MARADHI YA KISUKARI, MKE AMKIMBIA MUME WAKE NA KUHAMIA KWA JIRANI !
Mwanaume mmoja wa makamo mkaazi wa mkoani Morogoro nchini Tanzania amekutana na adha kubwa ya maisha baada ya kukimbiwa na mke wake wa ndoa huku sababu kuu ikitajwa kuwa maradhi ya kisukari yanayo mkabili mwanaume huyo kwa muda mrefu.
Shuhuda wa kisa hiki
ameeleza kuwa, mwanamke huyo baada ya kumkimbia mume wake wa ndoa, amehamia kwa mwanaume mwingine ambae anaishi katika nyumba jirani na ananapoishi mume wake huku akimuacha mumewe akiwa anateseka na maradhi ya kisukari pasi na msaada wowote !
Kusoma zaidi habari hii na kusikia sauti...
Hivyo makala KISA MARADHI YA KISUKARI, MKE AMKIMBIA MUME WAKE NA KUHAMIA KWA JIRANI !
yaani makala yote KISA MARADHI YA KISUKARI, MKE AMKIMBIA MUME WAKE NA KUHAMIA KWA JIRANI ! Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KISA MARADHI YA KISUKARI, MKE AMKIMBIA MUME WAKE NA KUHAMIA KWA JIRANI ! mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/kisa-maradhi-ya-kisukari-mke-amkimbia.html
0 Response to "KISA MARADHI YA KISUKARI, MKE AMKIMBIA MUME WAKE NA KUHAMIA KWA JIRANI !"
Post a Comment