Loading...
title : Kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje (Diaspora) kufanyika tarehe 23 na 24 Agosti
link : Kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje (Diaspora) kufanyika tarehe 23 na 24 Agosti
Kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje (Diaspora) kufanyika tarehe 23 na 24 Agosti
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Salum Maulid Salum, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje litakalofanyika tarehe 23 na 24 Agosti hapa Zanzibar. Hafla hiyo imefanyika Ikulu mjini Zanzibar.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Salum Maulid Salum, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje litakalofanyika tarehe 23 na 24 Agosti hapa Zanzibar. Hafla hiyo imefanyika Ikulu mjini Zanzibar.
Mkurugenzi wa PPR Pascal Mayalla akiuliza suali katika mkutano na waandishi wa habari uliozungumzia Kongamano la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje uliofanyika Ikulu mjini Zanzibar.
Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Uratibu wa Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi Bi. Adila Hilali Vuai akijibu masuali yaliyoulizwa na wandishi wa habari kuhusu maandalizi ya kongamano la kitafa litalofanyika tarehe 23 na 24 Agosti hapa Zanzibar. (kushoto) Muandishi wa habari Rahma Suleiman wa Chuchu Fm Redio.
Picha na Makame Mshenga.
Hivyo makala Kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje (Diaspora) kufanyika tarehe 23 na 24 Agosti
yaani makala yote Kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje (Diaspora) kufanyika tarehe 23 na 24 Agosti Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje (Diaspora) kufanyika tarehe 23 na 24 Agosti mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/kongamano-la-nne-la-kitaifa-la.html
0 Response to "Kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje (Diaspora) kufanyika tarehe 23 na 24 Agosti"
Post a Comment