Loading...

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE

Loading...
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE
link : MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE

soma pia


MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE

 Makamu wa Rais, Samia Hassan Suluhu akipata maelezo kutoka kwa Meneja Uhusiano, juu ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inafanya kazi katika vitengo mbalilmbali ndani ya maonesho ya Nanene yalifikia kilele jana  katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
  Makamu wa Rais, Samia Suluhu  Hassan  akipokea mfuko wenye taarifa mbalimbali kutoka kwa Meneja Msaidizi Idara ya Uhusiano wa Umma wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Vicky Msina  katika  maonesho ya Nanene yalifikia kilele jana  katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
 Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika  maonesho ya Nanene yalifikia kilele jana  katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
 Waziri wa Kilimo , Mifugo na Uvuvi, Charle’s Tizeba akipata maelezo kutoka Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) Bestina Magutu juu Mamlaka hiyo inavyofanya kazi katika  maonesho ya Nanenane yaliyofikia kilele jana  katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
 Afisa wa Mamlaka ya Chakula na Dawa na Meneja wa Kanda ya Kusini (TFDA), Dogratius Ngatunga akitoa maelezo kwa mwananchi aliyetembelea banda la TFDA katika maonesho ya Nanenane mkoani Lindi juu ya madhara ya vipodozi.
 Makamu wa Rais, Samia Hassan Suluhu  akipata  maelezo  kutoka kwa  Meneja Masoko wa PBZ, Aisha Mohamed wakati Makamu wa Rais alipotembelea banda  la PBZ  katika maonesho ya Nanenane yaliyofikia kilele jana  katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Makamu wa Rais, Samia Hassan Suluhu  akimpa kikombe cha mshindi wa jumla wa maonesho ya Nanenane mkoani Lindi, Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenaerali , Michael Isamuhyo.


Hivyo makala MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE

yaani makala yote MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/makamu-wa-rais-samia-suluhu-hassan_9.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA BANDA LA BOT KATIKA MAONESHO YA NANENANE"

Post a Comment

Loading...