Loading...
title : NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KARAKANA YA TEMESA MT. DEPOT
link : NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KARAKANA YA TEMESA MT. DEPOT
NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KARAKANA YA TEMESA MT. DEPOT
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni (katikati) akifafanua jambo kwa watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) alipotembelea karakana ya MT. Depot mapema leo, ili kujionea matengenezo ya magari ya Serikali yanavyofanyika katika karakana hiyo. Kushoto kwa Waziri ni Mtendaji Mkuu wa TEMESA Dkt. Mussa Mgwatu na kulia kwake ni Mkurugenzi wa zalishaji na matengenezo Mhandisi Sylvester Simfukwe.
Mafundi wa Karakana ya MT. Depot wakifanya matengenezo kwenye gari, wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni, aliyetembelea karakana hiyo mapema leo ili kujionea jinsi magari ya serikali yanavyotengenezwa. Picha na TEMESA
Hivyo makala NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KARAKANA YA TEMESA MT. DEPOT
yaani makala yote NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KARAKANA YA TEMESA MT. DEPOT Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KARAKANA YA TEMESA MT. DEPOT mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/naibu-waziri-wa-wizara-ya-mambo-ya.html
0 Response to "NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KARAKANA YA TEMESA MT. DEPOT"
Post a Comment