Loading...

RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU.

Loading...
RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU.
link : RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU.

soma pia


RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU.

KOM1
Maria Kaira Mwambawahabari
Mkuu wa mkoa wa Dar es saalam Paul Makonda amedhamiria kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya elimu ikiwemo utatuzi wa majengo 402 ya waalimu pamoja na upungufu wa vyoo katika shule za msingi na sekondari. 

Ikiwa changamoto hizo zimekuwa zikiwakabili kwa muda mrefu na imekuwa fedheha kwa waalimu hao katika kuinua maendeleo ya  elimu ya mkoa na kumpatia mwanafunzi fursa ya kutimiza ndoto yake  ni lazima kutatua changamoto hizo. 

Haya yamezungumzwa leo na mkuu wa mkoa wa Dar e s saalam Paul Makonda wakati akizungumza na vyombo vya habari juu ya utatuzi wa changamoto hizi kwa kushirikiana na mainginia kutoka jeshi la wananchi, jeshi la magereza na jeshi la kujenga taifa.
KOM2
Ofisi hizo za kisasa zitakuwa na sehemu ya Chumba cha Mwalimu Mkuu,Chumba cha Muhasibu, Chumba cha Katibu  pamoja na ofisi ya Mwalimu mkuu  msaidizi na walimu wote pamoja na Bafu na Vyoo vya kisasa.Piaujenzi wa ofisi za walimu wa shule ya msingi ni ofisi 295 na shule ya sekondari ni ofisi 107 ndizo zinazotarajiwa kujengwa”amesema

Aidha mh Makonda amewataka wadau mbalimbali wanaopenda sekta ya elimu kusonga mbele kujitokeza kwa wingi kuchangia elimu ya mkoa ili kuweza kutatua changamoto hizi zinazoikabili sekta ya elimu .

Hata hivyo  Mheshimiwa Makonda amesema amefanikiwa kupata Mabati 11,000 na mifuko ya Saruji 1,000 ikiwa alikuwa na uhitaji wa  Mabati yapatao 50,000, ili kukamilisha ujenzi huo.



Hivyo makala RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU.

yaani makala yote RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/rc-makonda-kutatua-changamoto-za-elimu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RC MAKONDA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU."

Post a Comment

Loading...