Loading...

SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI

Loading...
SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI
link : SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI

soma pia


SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI

Na Stella Kalinga, Simiyu.

Mkoa wa Simiyu umejipanga kufanya mapinduzi ya Kilimo kupitia skimu kubwa ya Umwagiliaji inayotarajiwa kuanza kutekelezwa hivi karibuni, kwa lengo la kuwainua wananchi Kiuchumi na kukabiliana na upungufu wa chakula.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa huo, Mhe.Anthony Mtaka katika kikao kilichofanyika kati ya Viongozi na Wataalam ngazi ya Mkoa,Wilaya na wananchi wa vijiji vya Kata ya Mwamanyili Wilayani Busega kujadili juu ya mipango ya utekelezaji wa skimu hiyo.

Amesema katika Skimu hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Busega itaingia mkataba na kukopa fedha kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo(TADB) ambayo tayari imekubali kutoa mkopo huo, ili kuwezesha ujenzi wa miundombinu ya maji kutoka Ziwa Victoria kwenda kwenye mashamba, kuwawezesha wananchi kununua mbegu bora, mbolea, na zana bora za kilimo.

Aidha, ameeleza kuwa wananchi katika skimu hiyo watazalisha mpunga kwa misimu miwili kwa mwaka na kupanda mazao mengine mbadala hususani ya jamii ya mikunde mara baada ya kuvuna mpunga, kwa ajili ya kurutubisha Ardhi.
 Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka  akizungumza na wananchi wa Kata ya Mwamanyili, juu ya Skimu ya Umwagiliaji unaotarajiwa kuanza kutekelezwa hivi karibuni katika kata hiyo Wilayani Busega.
 Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe.Tano Mwera  akizungumza na wananchi wa Kata ya Mwamanyili, juu ya Skimu ya  Umwagiliaji inaotarajiwa kuanza kutekelezwa hivi karibuni katika kata hiyo Wilayani Busega.
 Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mwamanyili wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka (hayupo pichani) katika kikao cha kujadiliana juu ya Skimu ya Umwagiliaji inayotarajiwa kuanza kutekelezwa hivi karibuni katika kata hiyo Wilayani Busega.
 Ndg.Shadrack Yohana Mkazi wa Kijiji cha Nasa Ginnery Kata ya Mwamanyili,akichangia jambo katika kikao cha Viongozi wa Mkoa, Wilaya ya Busega na wananchi kilichofanyika katika Kijiji cha Mwamanyili,  kwa lengo la kujadili juu ya Skimu ya Umwagiliaji inayotarajiwa kuanza kutekelezwa hivi karibuni katika kata hiyo Wilayani Busega.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI

yaani makala yote SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/simiyu-kufanya-mapinduzi-ya-kilimo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SIMIYU KUFANYA MAPINDUZI YA KILIMO KUPITIA UMWAGILIAJI"

Post a Comment

Loading...