Loading...

TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR

Loading...
TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR
link : TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR

soma pia


TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR

 Msanii  Mkongwe wa Muziki Bongo Fleva, Juma Nature akiongoza kundi la TMK Wanaume Family katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Msanii wa Bongofleva Barnaba akiimba kwa kutumia Live band katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
Msanii Mkongwe wa Muziki wa Bongo Fleva , Rehema Chalamila (Ray C) akitoa Burudani katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Dj Maarufu kutoka kituo cha Radio cha Clouds Fm, Dj Zero akionyesha ufundi wa kuchezea Santuri katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam
 Dj Mkongwe katika uchezeshaji wa Santuri, John Dilinga (DJ JD) akionyesha ufundi kwa kupiga nyimbo za Zamani katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI


Hivyo makala TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR

yaani makala yote TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/tamasha-la-miaka-40-ya-bia-ya-safari.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAMASHA LA MIAKA 40 YA BIA YA SAFARI LAGER LILIVYOBAMBA JIJINI DAR"

Post a Comment

Loading...