Loading...
title : DJ CHOKA KUTOKA NA NGOMA MPYA
link : DJ CHOKA KUTOKA NA NGOMA MPYA
DJ CHOKA KUTOKA NA NGOMA MPYA
Hugoline Martin Mtambachuo jina maarufu kama DJ CHOKA anatarajia kuachia wimbo wake mpya alioupa jina la BILA SABABU ukiwa umefanyika pale Mbagala kwa Prod Dupy. DJ Choka amesema ameamua kuachia wimbo huo tarehe hiyo kwa sababu ni tarehe ya kumbukumbu yake ya kuzaliwa.
Wimbo huu utakuwa wimbo wa kwanza kuutoa kwa mwaka huu 2017 toka ameinuka kutoka kitandani kwa kujiuguza ugonywa wa KIFUA KIKUU (TB) kwa takribani miezi 6 hadi 8. Wimbo wa mwisho kuuachia ulikuwa unaitwa NITALALA UZEENI ambapo aliuachia mwaka 2014 uliokuwa umewashirikisha wasanii kama COUNTRY BOY, YOUNG LUNYA, B GWAY na CLIMAX BIBO chini ya Prod Gard kutoka A.M Rec.
Wasanii walioshirikishwa kwenye wimbo huu mpya amesema ni mapema kuwataja kwa sasa lakini wimbo ukitoka watajulikana, anaomba mashabiki kuupokea ujio huu mwingine mpya kutoka kwake pamoja na nyingine zitakazo kuja.
Hivyo makala DJ CHOKA KUTOKA NA NGOMA MPYA
yaani makala yote DJ CHOKA KUTOKA NA NGOMA MPYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DJ CHOKA KUTOKA NA NGOMA MPYA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/dj-choka-kutoka-na-ngoma-mpya.html
0 Response to "DJ CHOKA KUTOKA NA NGOMA MPYA"
Post a Comment