Loading...
title : Kanisa la Askofu Gwajima lakumbwa na haya....
link : Kanisa la Askofu Gwajima lakumbwa na haya....
Kanisa la Askofu Gwajima lakumbwa na haya....
KANISA la Ufufuo na Uzima lililopo Mbezi Inn linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima limebomolewa. Nyumba hiyo ya ibada ambayo pia ilikuwa ikitumika kama kituo cha maombezi imebomolewa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads).
Imeelezwa kanisa hilo limejengwa ndani ya hifadhi ya Barabara ya Morogoro ya mita 121.5. Kwa mujibu wa waumini wa kanisa hilo, pia limekuwa likitumika kama kituo cha kufundishia wachungaji limebomolewa jana jioni hali iliyosababisha waumini wa Kanisa hilo kusalia nje. Vitu vikiwa nje na baadhi ya waumini wakiendelea na maombi nje.
Hivyo makala Kanisa la Askofu Gwajima lakumbwa na haya....
yaani makala yote Kanisa la Askofu Gwajima lakumbwa na haya.... Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Kanisa la Askofu Gwajima lakumbwa na haya.... mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/kanisa-la-askofu-gwajima-lakumbwa-na.html
0 Response to "Kanisa la Askofu Gwajima lakumbwa na haya...."
Post a Comment