Loading...

Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa

Loading...
Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa
link : Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa

soma pia


Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa

Na: Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.

Kamati inayosimamia Mashindano ya Coco Sports Ndondo Cup leo imetangaza ratiba ya nusu fainali ya mwaka 2017.


Hii ndio nusu fainali ya COCO SPORTS NDONDO CUP 2017


Jumapili 24/9/2017
Theo Kombain vs Kibonde Maji

Jumatatu 25/9/2017
Six center vs Amazon fc
Mechi zote zitapigwa katika uwanja wa blue star Mwera saa 10: 00 za jioni.

Mashindano hayo ya Ndondo CUP awali yalianza na timu 63 kwa kuchezwa mtoano na mpaka sasa kufikia hatua ya nusu fainali  ambapo bingwa anatarajiwa kupatiwa Ng'ombe na Shilingi Milioni moja.


Hivyo makala Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa

yaani makala yote Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/ratiba-ya-nusu-fainali-ndondo-cup.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Ratiba ya Nusu Fainali Ndondo Cup yatolewa"

Post a Comment

Loading...