Loading...

TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA

Loading...
TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA
link : TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA

soma pia


TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA


"Uongozi na Wafanyakazi wa E-FM,TV-E kwa majonzi na masikitiko makubwa tunatangaza kuondokewa na Mwanafamilia Mwenzetu Dennis Rupia (Chogo),aliyefarika Dunia baada ya kuugua kwa kipindi cha muda mfupi.

Aidha kwa taarifa zaidi tataendelea kufahamishana taratibu za kumpumzisha mpendwa wetu kupitia vyanzo mbalimbali vya mawasiliano.

Hakika ni kipingi Kigumu kwetu,Wasikilizaji wa Redio na familia kwa ujumla tuendelee kuombea Mpendwa wetu" ,E-FM.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN


Hivyo makala TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA

yaani makala yote TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/tanziamtangazaji-wa-e-fm-afariki-dunia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZIA:MTANGAZAJI WA E-FM AFARIKI DUNIA"

Post a Comment

Loading...