Loading...

WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI.

Loading...
WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI.
link : WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI.

soma pia


WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI.

Pix 00b
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari nchini wakiendelea na zoezi la upakiaji wa mbolea ya kupandia tani elfu 23 tayari kwenda kwa wakulima  mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Pix 01
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari nchini wakiendelea na zoezi la kufunga mbolea ya kupandia katika mifuko tayari kwa kupakiwa na kusafirishwa kwenda kwa wakulima.
Pix 02
Kaimu Mkurugenzi Mamlaka ya Udhibiti wa Ubora wa Mbolea Tanzania(TFRA) Bw. Lazaro Kitandu (katikati) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari wakati zoezi la upakuaji wa mbolea ya kupandia ukiendelea katika bandari ya Dar es Salaam. 
Mwambawahabari 
Jumla ya tani elfu hamsini na tano(55,000/=) za mbolea zimeingizwa hapa nchini ikiwa ni hatua ya Serikali  ya kuwapatia wakulima mbolea yenye bei nafuu ili kuwasaidia kuzalisha mazao ya kutosha na kuendana na sera ya Tanzania ya Viwanda.

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti MboleaBw.Lazaro Kitandu wakati akizungumza na wanahabari katika bandari ya Dar es salaam wakati wa zoezi la upakuaji wa mbolea hiyo.

 Bw.Kitandu amesema kuwa  tani elfu thelathini na mbili za mbolea ya kukuzia ( UREA) imeagizwa kutoka nchini Urusi, huku mbolea ya kupandia ikiwa tani elfu ishirini na tatu aina ya (DAP)imeagizwa kutoka Nchini Morocco ambapo mbolea hiyo itatumika hadi mwezi Desemba mwaka huu.

Aidha amesema kuwa mbolea hiyo siyo ya ruzuku bali ni mbolea iliyodhibitiwa kutoka katika chanzo na kwamba itauzwa kulingana na bei elekezi kutoka serikalini huku akiwaonya wafanyabishara ambao watauza kinyume cha bei elekezi kuwa watachukuliwa hatua za kisheria..


Kwa  mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa mamalaka hiyoBw.Lazaro Kitandu kwa amesema kuwa  msimu huu wa kilimo  mahitaji ya mbolea kwa Taifa ni tani laki nne(400000/=)hadi laki nne na nusu(450000/=),huku akisissitiza kuwa endapo viwanda vya kutengeneza mbolea vilivyopo hapa nchini vitaweza kutengeneza mbolea ya kutosha itasidia kupunguza gharama kubwa ya kuagiza mbolea kutoka nje ya nchi.


Hivyo makala WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI.

yaani makala yote WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/wakulima-nchini-kuu-ziwa-mbolea-kwa-bei.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAKULIMA NCHINI KUU ZIWA MBOLEA KWA BEI NAFUU, NI BAADA YA SERIKALI KUINGIZA MBOLEA TANI 55,000,TOKA UGHAIBUNI."

Post a Comment

Loading...