Loading...
title : WANAJESHI WA JESHI LA WANANCHI MKOA WA PWANI WAADHIMISHA MIAKA 53 YA KUZALIWA JESHI HILO.
link : WANAJESHI WA JESHI LA WANANCHI MKOA WA PWANI WAADHIMISHA MIAKA 53 YA KUZALIWA JESHI HILO.
WANAJESHI WA JESHI LA WANANCHI MKOA WA PWANI WAADHIMISHA MIAKA 53 YA KUZALIWA JESHI HILO.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, Luteni Kanali Mkundi alisema kuwa wamefika hospitalini hapo ambako wamefanya usafi katika wodi mbalimbali na kugawa zawadi ikiwa ni kusherehekea maadhimisho hayo yaliyoadhimishwa nchini kote huku wanajeshi wakiungana katika kufanya shughuli mbalimbali za kijamii.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha Bwana. Robert Shilingi akipokea msaada kutoka kwa Luteni Kanali Gelda Lucas Mkundi na Kulia ni Meja Salma Shaaban Kalili wote kutoka Kambi ya Nyerere Msangani Kibaha Mkoani Pwani.
Makabidhiano hayo yamefanyika katika Hospitali ya Tumbi Kibaha ikiwa ni katika maadhimisho ya miaka 53 ya kuanzishwa kwa Jeshi la Wananchi nchini , sherehe hizo hufanyika kila ifikapo Septemba Mosi ya kila mwaka.
Meja Enock Wiliam Liwembe kutoka kikosi cha Kiluvya akitoa damu katika hospitali ya Tumbi ikiwa ni katika sehemu ya kusherehekea maadhimisho ya miaka 53 ya JWTZ.
Hivyo makala WANAJESHI WA JESHI LA WANANCHI MKOA WA PWANI WAADHIMISHA MIAKA 53 YA KUZALIWA JESHI HILO.
yaani makala yote WANAJESHI WA JESHI LA WANANCHI MKOA WA PWANI WAADHIMISHA MIAKA 53 YA KUZALIWA JESHI HILO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WANAJESHI WA JESHI LA WANANCHI MKOA WA PWANI WAADHIMISHA MIAKA 53 YA KUZALIWA JESHI HILO. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/wanajeshi-wa-jeshi-la-wananchi-mkoa-wa.html
0 Response to "WANAJESHI WA JESHI LA WANANCHI MKOA WA PWANI WAADHIMISHA MIAKA 53 YA KUZALIWA JESHI HILO."
Post a Comment