Loading...

WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA.

Loading...
WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA.
link : WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA.

soma pia


WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA.

Mwambawahabari



TAARIFA KWA UMMA
TAMKO LA KULAANIMAUAJI YA WATOTO WAWILI WALIOTEKWA MKOANI ARUSHA
WizarayaAfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inalaani vikali mauaji ya watoto wawili ambao walitekwa na kukutwa wameuawa katika mkoa wa Arusha.
Wizaraimepokea taarifa ya vifo hivyo kwa simanzi kubwa na inalaanivikali mauaji hayo ambayo yamekatisha uhai wa watoto hao katika umri huo mdogo.Mauaji na utekaji waliofanyiwa watoto hawa ni ukiukwaji mkubwa wa Haki za Mtoto ikiwemo haki ya Kuishi ambayo ndiyo hakikuukati ya haki zote.
Wizarainawaasawazazi, walezinajamiikuimarishamifumoyaulinziwawatotokatikangaziyamitaa,vijiji na jamiiilikuwa na mifumomadhubuti katika kudhibiti ukatiliunaofanywadhidi ya watoto na kusababisha majonzimakubwakwawazazi, familianajamiikwaujumla.
Jamii inakumbushwakuwatatizo la utekajiwawatotolinahitajijuhudizapamoja katika kupambana naloilikuzifanya jamii zetu kuwa mahalasalama kwa watotowetu kuishi. Wizaraitaendelea kuimarishaKamatizaulinzinausalamawaMtotokatikangazizakata, vijijinamitaailikuboreshahuduma za ulinziwawatotowetu.
Aidha, Wizara inalipongezaJeshi la Polisikwajitihadazilizofanyikaza kutaka kuwaokoawatotohaowakiwahai, ingawa juhudihizohazikufanikiwa.
Wizarainaombawazazi, walezi, familia, walimunamarafikikuwanamoyo wa uvumilivukatikakipindihikikigumu.
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
07/09/2017


Hivyo makala WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA.

yaani makala yote WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/wizara-ya-laani-utekaji-na-mauaji-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WIZARA YA LAANI UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO MKOANI ARUSHA."

Post a Comment

Loading...