Loading...
title : ZUKU FIBER YAZINDUA HUDUMA YA INTANETI YENYE KASI ZAIDI TANZANIA
link : ZUKU FIBER YAZINDUA HUDUMA YA INTANETI YENYE KASI ZAIDI TANZANIA
ZUKU FIBER YAZINDUA HUDUMA YA INTANETI YENYE KASI ZAIDI TANZANIA
Kampuni ya Zuku imezindua huduma ya Intaneti yenye uwezo mkubwa wa kuweza kufanya kazi kwa vitu vitatu kwa wakati mmoja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Afisa Mtendaji wa Zuku Fiber, Thomos Hintze amesema kuwa Zuku Fiber inawezo mkubwa kuliko mitandao mengine iliyopo nchini.
Amesema kuwa wamejipanga kutokana na kampuni hiyo kuwa na miundombinu inayojitosheleza ambapo mtu akilipia anapata huduma muda huo huo
Hata hivyo amesema kifurushi cha Zuku fiber triple Play 100 mbps kimeundwa ili kukidhi mahitaji ya mtandaoni kama video fupi, sinema , michezo ya kuigiza na video za mawasiliano.
Hintz amesema kuwa gharama za mtandao huo ni sh .79,000 ambapo Mteja anapoanza kutumia uwezo wake ni uleule mpaka mwisho.
Amesema kampuni hiyo imekwenda mbali baadhi ya nchi za Afrika ambazo ni Zambia, Malawi, Uganda pamoja na Kenya.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Afisa Mtendaji wa Zuku Fiber, Thomos Hintze amesema kuwa Zuku Fiber inawezo mkubwa kuliko mitandao mengine iliyopo nchini.
Amesema kuwa wamejipanga kutokana na kampuni hiyo kuwa na miundombinu inayojitosheleza ambapo mtu akilipia anapata huduma muda huo huo
Hata hivyo amesema kifurushi cha Zuku fiber triple Play 100 mbps kimeundwa ili kukidhi mahitaji ya mtandaoni kama video fupi, sinema , michezo ya kuigiza na video za mawasiliano.
Hintz amesema kuwa gharama za mtandao huo ni sh .79,000 ambapo Mteja anapoanza kutumia uwezo wake ni uleule mpaka mwisho.
Amesema kampuni hiyo imekwenda mbali baadhi ya nchi za Afrika ambazo ni Zambia, Malawi, Uganda pamoja na Kenya.
Afisa Mtendaji wa Zuku Fiber, Mhandisi Thomos Hintze akizungumza na waandishi katika uzinduzi wa Intaneti Fiber iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa Zuku Fiber Thomas Wenanga pamoja na Mkuu wa kitengo cha Fiber, Michael Debaly
Meneja Uendashaji wa Zuku Fiber, Mcharo Mlaki akizungumza katika uzinduzi wa huduma ya Intaneti iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Zuku Fiber, Mhandisi Thomos Hintze akiwa na watendaji wa kampuni hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Hivyo makala ZUKU FIBER YAZINDUA HUDUMA YA INTANETI YENYE KASI ZAIDI TANZANIA
yaani makala yote ZUKU FIBER YAZINDUA HUDUMA YA INTANETI YENYE KASI ZAIDI TANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala ZUKU FIBER YAZINDUA HUDUMA YA INTANETI YENYE KASI ZAIDI TANZANIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/zuku-fiber-yazindua-huduma-ya-intaneti.html
0 Response to "ZUKU FIBER YAZINDUA HUDUMA YA INTANETI YENYE KASI ZAIDI TANZANIA"
Post a Comment