Loading...
title : BREAKING NYUZZZZZ: MAHAKAMA YAMKUTA LULU NA KESI YA KUJIBU KUHUSU KIFO CHA KANUMBA
link : BREAKING NYUZZZZZ: MAHAKAMA YAMKUTA LULU NA KESI YA KUJIBU KUHUSU KIFO CHA KANUMBA
BREAKING NYUZZZZZ: MAHAKAMA YAMKUTA LULU NA KESI YA KUJIBU KUHUSU KIFO CHA KANUMBA
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam leo Oktoba 23, 2017 imemkuta Msanii maarufu wa filamu nchini, Elizabeth Michael Maarufu kama Lulu, anakesi ya Kujibu.
Ni kuhusu tuhuma zinazomkabili za kumuua msanii mwenzake, marehemu Steven Kanumba ambaye pia alikuwa ni mpenzi wake, April 6 mwaka 2012.
Hatua hiyo imekuja baada ya upande wa Jamhuri kufunga ushahidi wao kwa kuita mashahidi wanne.
Kesi imeahirishwa hadi saa tano kamili ambapo Lulu ataanza kujitetea.
Hivyo makala BREAKING NYUZZZZZ: MAHAKAMA YAMKUTA LULU NA KESI YA KUJIBU KUHUSU KIFO CHA KANUMBA
yaani makala yote BREAKING NYUZZZZZ: MAHAKAMA YAMKUTA LULU NA KESI YA KUJIBU KUHUSU KIFO CHA KANUMBA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING NYUZZZZZ: MAHAKAMA YAMKUTA LULU NA KESI YA KUJIBU KUHUSU KIFO CHA KANUMBA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/breaking-nyuzzzzz-mahakama-yamkuta-lulu.html
0 Response to "BREAKING NYUZZZZZ: MAHAKAMA YAMKUTA LULU NA KESI YA KUJIBU KUHUSU KIFO CHA KANUMBA"
Post a Comment