Loading...
title : Kamati ya Kitaaluma ya Udhalilishaji Wanawake na Watoto Pemba Wapata Mafunzo.
link : Kamati ya Kitaaluma ya Udhalilishaji Wanawake na Watoto Pemba Wapata Mafunzo.
Kamati ya Kitaaluma ya Udhalilishaji Wanawake na Watoto Pemba Wapata Mafunzo.
Ofisa MIpango Jinsia kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa, linaloshughulikia Idadi ya Watu Dunia (UNFPA) Ali
Haji Hamad, akitowa Mada juu ya ukatili wa jinsia kwa Kamati ya Kitaalamu ya Uratibu wa Mipango wakati wa mkutano na Wananchi wa Kisiwani Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Samael Gombani Pemba.
Mjumbe kutoka kamati ya Kitaalamu ya Uratibu wa Mpango wa Taifa wa kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na udhalilishaji dhidi na wanawake na watoto kisiwani Pemba, Robert Migulu, akichangia mada katika mafunzo hayo kwa kamati hiyo.
Mjumbe wa Kamati ya Kitaalamu ya uratibu wa mpango wa Taifa wa kupambana na Vitendo vya Ukatili na udhalilishaji dhidi ya Wanawake na Watoto Pemba, Ramla Abass Farahani, wakati wa mafunzo ya kamati hiyo
yaliofanyika huko katika ukumbi wa Samael Gombani Pemba.
Picha na Habiba Zarali - Pemba.
Hivyo makala Kamati ya Kitaaluma ya Udhalilishaji Wanawake na Watoto Pemba Wapata Mafunzo.
yaani makala yote Kamati ya Kitaaluma ya Udhalilishaji Wanawake na Watoto Pemba Wapata Mafunzo. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Kamati ya Kitaaluma ya Udhalilishaji Wanawake na Watoto Pemba Wapata Mafunzo. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/kamati-ya-kitaaluma-ya-udhalilishaji.html
0 Response to "Kamati ya Kitaaluma ya Udhalilishaji Wanawake na Watoto Pemba Wapata Mafunzo."
Post a Comment