Ligi Kuu ya Zanzibar Kuaza Kutimua Fumbi Kesho Katika Viwanja Vya Amaan Unguja na Gombani Pemba. - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Ligi Kuu ya Zanzibar Kuaza Kutimua Fumbi Kesho Katika Viwanja Vya Amaan Unguja na Gombani Pemba., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Ligi Kuu ya Zanzibar Kuaza Kutimua Fumbi Kesho Katika Viwanja Vya Amaan Unguja na Gombani Pemba.link :
Ligi Kuu ya Zanzibar Kuaza Kutimua Fumbi Kesho Katika Viwanja Vya Amaan Unguja na Gombani Pemba.
Ligi Kuu ya Zanzibar Kuaza Kutimua Fumbi Kesho Katika Viwanja Vya Amaan Unguja na Gombani Pemba.
Na: Abubakar Khatib “Kisandu”, Zanzibar.
Ligi kuu Soka ya Zanzibar msimu wa mwaka 2017-2018 unatarajiwa kuanza rasmi kesho Oktoba 3 kwa kusukumwa michezo minne katika Viwanja vitatu tofauti.
Kwa upande wa Kanda ya Unguja Mabingwa watetezi wa ligi hiyo klabu ya JKU wataanza kutetea taji lao kwa kucheza na Mafunzo mchezo utakachezwa Saa 8:00 za mchana katika Uwanja wa Amaan, mchezo mwengine utapigwa saa 10:00 za jioni katika uwanja huo huo wa Amaan kati ya KMKM dhidi ya Jang’ombe Boys.
Na kwa upande wa kanda ya Pemba kesho timu ya Chuo basra wataanza ligi hiyo kucheza na Hard rock saa 10:00 za jioni katika uwanja wa Gombani wakati Kizimbani watakuwa na kazi kucheza na Wawi Star saa 10:00 za jioni katika uwanja wa FFU Finya.
Hivyo makala Ligi Kuu ya Zanzibar Kuaza Kutimua Fumbi Kesho Katika Viwanja Vya Amaan Unguja na Gombani Pemba.
yaani makala yote Ligi Kuu ya Zanzibar Kuaza Kutimua Fumbi Kesho Katika Viwanja Vya Amaan Unguja na Gombani Pemba. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Ligi Kuu ya Zanzibar Kuaza Kutimua Fumbi Kesho Katika Viwanja Vya Amaan Unguja na Gombani Pemba. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/ligi-kuu-ya-zanzibar-kuaza-kutimua.html
Related Posts :
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA WCF KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI JIJINI MBEYA
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde, akipeana mikono na mama mja… Read More...
Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar.
MASHINDANO ya ngumi kombe la Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam , Isaya Mwita yamemalizika jana huku mabingwa watetezi ambao ni mabond… Read More...
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA DKT. NDUGULILE UWANJA WA NDEGE WA J.K NYERERE
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Dkt. Faustine Ndugulile akihoji ufanisi wa utendaji kazi wa moja ya mashi… Read More...
MPINA AMWAGA PIKIPIKI KWENYE MINADA YA MIPAKANIAsema zitasaidia kukomesha utoroshaji wa mifugo nje ya nchi
Na John Mapepele
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina ameagiza maeneo … Read More...
Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la DarMASHINDANO ya ngumi kombe la Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam , Isaya Mwita yamemalizika jana huku mabingwa watetezi ambao ni mabondia… Read More...
0 Response to "Ligi Kuu ya Zanzibar Kuaza Kutimua Fumbi Kesho Katika Viwanja Vya Amaan Unguja na Gombani Pemba."
Post a Comment