Loading...

Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma

Loading...
Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma
link : Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma

soma pia


Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma

Naibu Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Harusi Said Suleiman, akiingia katika Hospitali ya Chake Chake Pemba, kwa ajili ya uzinduzi wa Kambi ya pili ya madaktari bingwa kutoka Jumuiya ya WAMY ya Falme za Kiarabu.


Daktari bingwa wa Upasuaji kutoka Jumuiya ya WAMY   ya Falme za kiarabu, Tariq Habibu, akitowa maelezo ya jumuiya hiyo kwa Naibu waziri wa afya kabla ya uzinduzi wa kambi iliofanywa na jumuiya hiyo Kisiwani Pemba.
Baadhi ya madaktari wa jumuiya ya WAMY na watendaji wa Hospitali ya Chake Chake Pemba, wakimsikiliza Naibu waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Harusi Said Suleiman akitowa nasaha zake na kuifunguwa kambi ya matibabu na upasuaji inayoendeshwa na madaktari hao.
Baadhi ya Dawa na Vifaa ambavyo vimeletwa na Madaktari bingwa wa upasuaji kutoka Jumuiya ya WAMY katika Falme za Kiarabu kwa  ajili ya kambi ya matibabu na upasuaji huko katika Hospitali ya chake Chake Pemba.
Baadhi ya Dawa na Vifaa ambavyo vimeletwa na Madaktari bingwa wa upasuaji kutoka Jumuiya ya WAMY katika Falme za Kiarabu kwa  ajili ya kambi ya matibabu na upasuaji huko katika Hospitali ya chake Chake Pemba.
Baadhi ya Madaktari bingwa kutoka Jumuiya ya WAMY, na Naibu waziri wa afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Harusi Said Suleiman huko Chake Chake Pemba.

Baadhi ya Dawa na Vifaa ambavyo vimeletwa na Madaktari bingwa wa upasuaji kutoka Jumuiya ya WAMY katika Falme za Kiarabu kwa  ajili ya kambi ya matibabu na upasuaji huko katika Hospitali ya chake Chake Pemba.

PICHA NA JAMILA ABDALLA -MAELEZO PEMBA.


Hivyo makala Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma

yaani makala yote Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/madaktaeri-bingwa-wa-upasuaji-kutoka.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Madaktaeri bingwa wa upasuaji kutoka Falme za kiarabu wapiga kambi Hospitali ya Chakechake kutoa huduma"

Post a Comment

Loading...