Loading...

Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro

Loading...
Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro
link : Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro

soma pia


Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Makumbusho mapya ya mambo ya kale katika bonde la Olduvai ndani ya hifadhi ya Ngorongoro, wengine pichani ni Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Profesa Jumanne Maghembe (kushoto) pamoja na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo (kulia). ( Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akipiga makofi pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Profesa Jumanne Maghembe (kushoto) pamoja na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo (kulia) mara baada ya kukata utepe kuashiria uzinduzi wa Makumbusho mapya ya mambo ya kale katika bonde la Olduvai ndani ya hifadhi ya Ngorongoro.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akipata maelezo mbali mbali kuhusu maisha ya binadamu na wanyama wa kale kutoka kwa Mhifadhi wa Mambo ya Kale kutoka Makumbusho ya Taifa Dkt. Agness Gidna mara baada ya kufungua Makumbusho mapya ya mambo ya kale katika bonde la Olduvai ndani ya hifadhi ya Ngorongoro.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiangalia historia kuhusu maisha ya binadamu na wanyama wa kale iliyopo kwenye Makumbusho ya Olduvai mara baada ya kufungua Makumbusho mapya ya mambo ya kale katika bonde la Olduvai ndani ya hifadhi ya Ngorongoro.






Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiangalia uzinduzi wa tovuti na mtanzao wa bure wa Hifadhi ya Ngorongoro mara baada ya kufungua Makumbusho mapya ya mambo ya kale katika bonde la Olduvai ndani ya hifadhi ya Ngorongoro.




:Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akihutubia mara baada ya kufungua kufungua Makumbusho mapya ya mambo ya kale katika bonde la Olduvai ndani ya hifadhi ya Ngorongoro. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)


Hivyo makala Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro

yaani makala yote Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/matukio-makamu-wa-rais-samia-suluhu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio : Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Uzinduzi wa Makumbusho Mpya ya Olduvai - Ngorongoro"

Post a Comment

Loading...